Thursday 14 March 2013

Joho atangazwa mshindi - Governor Mombasa

Aliyekuwa mbunge wa Kisauni na Waziri msaidizi wa uchukuzi Mhe. Hassan Joho ndio Gavana mteule wa Jimbo la Mombasa. 












Joho mwenye alimshinda mpinzani wake wa karibu Suleiman Shahbal wa Wiper ame toa wito kwa aliyo wa shinda kushirikiyana naye kuendeleza mji wa Mombasa kwasababu anadai Mombasa ni Kubwa mnoo na hataweza hiyo kazi mwenyewe.

Hata kabla Joho kuvuta pumvi, mpinzani wake ambaye wako kwenye mrengo moja wa CORD ame pinga vikali ushindi wa Joho na ame enda Kortini kupinga ku apishwa kama Gavana wa Jimbo La Mombasa.

Shahbal anadai kwamba uchaguzi wa Mombasa ulikuwa na tashwishi nyingi na ana omba mahakama iamrishe kura ya Mombasa iregelewe.

No comments:

Post a Comment

Ji husishe kwa maoni yako ndio ukweli upatikane kwa manufaa wetu