Thursday 14 March 2013

Uhuru ndio Chaguo la Wakenya

Terehe 4 Marchi 2013 Wakenya walienda debeni ku amua uongoze wake mpya. 

Upinzani wakaribu kabisa ulikua baina wa Uhuru Muigai Kenyatta wa mrengo wa Jubilee na Waziri mkuu Raila Amolo Odinga wa mrengo wa CORD.

JUMLA ya matokeo kutoka maeneo bunge yote (291/291): Uhuru 6,173,433 (50.07%); Raila 5,340,546 (43.28%). Jumla za kura zilizopigwa 12,338,667.

Kutoka kwetu tunamtakia Rais Uhuru Kenyatta na mrengo wake wa Jubilee mema kuendeleza nchi yetu mbele.

No comments:

Post a Comment

Ji husishe kwa maoni yako ndio ukweli upatikane kwa manufaa wetu