Friday 23 November 2012

Shirika la NTA (National TaxPayers Association) inatoa repoti ya CDF

Shirika la NTA (National TaxPayers Association) imetoa ripoti yake hapo jana ikiweka wazi orodha ya ma eneo bunge zilizo tumia na kufuja pesa ya CDF.

Eneo bunge la Mvita na Eldoret North ikiwa mikononi Mheshimiwa Najib Balala na Mheshimiwa William Ruto ziliorodheshwa kati ya maeneo bunge 210 zilizo tumia pesa yake kwa miradi yanao nufaa wanainchi sanaa na hakuna recodi ya pesa ilio fujwa ama kutotumika.

Yalio orodheshwa ya mwisho ni eneo bunge la Nambale na eneo bunge la Changamwe.

Hivo Hivo ndani ya ripoti yao ina onesha wa bunge wamekuwa wa angalifu sana kuliko mwaka iliopita kwa utumiaje ya pesa ya umma.

Ewe Mwanainchi, Hakikisha kiongozi unaem chagua. Ni haki yako kuchukua Kura na kuweza kuwa na nguvu ya kutimuwa wanasiasa wasio jali mwanainchi na wafujaji wa pesa.

No comments:

Post a Comment

Ji husishe kwa maoni yako ndio ukweli upatikane kwa manufaa wetu